Misisi-Fizi: Wachimba Madini takribani 20 wasemekana kufariki

Wachimba madini wanaozaniwa kuwa ishirini (20) wasemekana kuwa wamepoteza maisha yawo hiyo jana, jumatatu 26/03/2018 huko Misisi, terriroire ya Fizi (Kivu ya Kusini).

Kwa mujibu wa viongozi wa serekali eneo hilo, ajali hiyo lilitokea katika migodi inayo itwa Ndende, na imetokana na mmomonyoko wa arzi ulio waangukiya wachimba madini.

Dudu zinazo aminika zinasema kwamba wiki iliopita, wachimba madini wengine wanasemekana kuwa wameuwawa kutokana nakubomoka kwa arzi tena vifusi.

Wana mazingira eneo ilo ueleza kua inakua hatari kila muhula wa kipindi mvua inyeshapo.

Inawezekana kuwa watu hawo wanaitaji msaada kutoka kwa serikali, zaidi sana ili kuhakikisha kuwa uchimbaji unaendeleshwa panapo kuwa na usalama wawachimbaji.

THOMSON UNDJI.

Radio Tumaini/Tanganyika

About admin 430 Articles
PhD & Visiting researcher @POLISatLeeds. Interest: Microeconomic Analysis of Violent Conflict, Genocide Studies and violence targeting minority groups. Congolese, blogger advocating for Equitable Redistribution of Ressources & national wealth as well as & #Justice4All #DRC. On top of that, I'm proud of being a "villageois"

Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*


This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.